• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • List of Councilors
      • Ikomwa
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

TEHAMA na Uhusiano

Tehama

Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano (TEHAMA)

Kitengo cha (TEHAMA) kimeanzishwa mwaka 2013 ambacho ni muunganiko wa Kitengo cha IT na Uhusiano. Kitengo hiki kinaongozwa na Sera ya TEHAMA (2003), na Sera ya Utangazaji Habari (2004). Ibara ya 18 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaeleza kuwa 1) bila ya kuathiri sheria ya nchi, na kutafuta,kupata na kueneza au kusambaza habari na mawazo kupitia chombo cha habari chochote bila ya kujali mipaka ya taifa pia anayohaki na uhuru wa kutoingiliwa na mawasiliano (2) kila raia ana haki ya kupashwa habari wakati wote kuhusu matukio mbalimbali ya nchini na duniani kote yenye umuhimu kwa maisha na shughuli za wananchi , pia kwa masuala yenye umuhimu kwa jamii.

Majukumu ya Kitengo

  1. Kuweka mahusiano bora baina ya Halmashauri pamoja na Umma na wadau mbalimbali pamoja na kutoa elimu kwa Umma.
  2. Kuandaa machapisho mbalimbali ya Halmashauri.
  3. kuratibu masuala ya kiitifaki ikiwemo kupokea wageni.
  4. Usimamizi Wa Mifumo Ya Kompyuta(System Administration)
  5. Usimamizi Wa Mtandao Wa Kompyuta pamoja Na Vifaa Vyake (Network And Hardware Adminstration).
  6. Usimamizi Wa Kanzi Data (Database Administration)
  7. Usimamizi wa tovuti na barua pepe (website administration & emails).
  8. Kutekeleza sera ya TEHAMA na Serikali Mtandao.
  9. Kuandaa mahitaji katika Ununuzi wa vifaa vya TEHAMA.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE(CSEE)NA MAARIFA(QT) 2017 January 31, 2018
  • Usafi wa Mazingira kwa Wananchi Wote, Jumamosi ya mwisho kila Mwezi March 23, 2017
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA AKAGUA MRADI WA UPANDAJI MITI TABORA MANISPAA

    March 28, 2018
  • WABUNGE WATAKA STENDI YA TABORA IJENGEWE HARAKA VIBANDA VYA ABIRIA

    March 22, 2018
  • MADIWANI WA MANISPAA YA TABORA WAPONGEZWA KWA UMOJA WAO

    March 22, 2018
  • MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KIWILAYA

    March 22, 2018
  • Angalia Zote

Video

KIONGOZI BORA NI YUPI? | MWL. JK NYERERE
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • ICT Use Guidelines
  • Frequently Asked Questions
  • Various Reports
  • Business Licence Request Form
  • Press Release

Kurasa Zinazofanana

  • State House
  • Tanzania Government Portal
  • President's Office Regional Administration and Local Government
  • President Office Public Service Management
  • National Bureau of Statistics
  • Tabora Region

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Manispaa Tabora - Barabara ya Boma

    Anwani ya Posta: S.L.P 174 Tabora

    Simu ya Ofisi: 026-2604315/6088

    Simu ya Mkononi: 0786820518

    Barua Pepe: md@taboramc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.