• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Ufugaji Nyuki

MAJUKUMU YA KITENGO CHA MAENDELEO YA UFUGAJI WA NYUKI.

  • Kutekeleza Sera, Sheria, Kanuni na miongozo ya sekta ya ufugaji wa Nyuki
  • Kuhakikisha Nyuki na rasilimali zake zinahifadhiwa na kutumika katika misingi endelevu
  • Kushiriki katika tafiti na kutafsiri matokeo ya tafiti yanayohusiana na shughuli za kiuchumi zinazotokana na sekta ya ufugaji wa Nyuki
  • Kuhamasisha uhifadhi endelevu wa maeneo ya kufugia Nyuki
  • Kutoa mafunzo kwa wafugaji Nyuki/Jamii juu ya mbinu bora za ufugaji wa Nyuki kwa ajili ya kuboresha uchumi na hifadhi ya mazingira
  • Kushirikiana na wadau wa sekta mtambuka kuhakikisha uwepo wa masoko ya uhakika ya mazao ya Nyuki pamoja na viwanda vya kuchakata mazao ya Nyuki
  • Kuishauri Halmashauri juu ya masuala yote yanayohusiana na sekta ya ufugaji wa Nyuki  
  • Kukusanya, kuchakata na kuhifahi takwimu za maendeleo ya ufugaji wa Nyuki
  • Kushirikiana na wadau kupanga na kutekeleza shughuli za maendeleo ya ufugaji wa Nyuki kwa faida ya kizazi cha sasa na kijacho kiuchumi, mazingira na kijamii
  • Kudhibiti na kutoa taarifa juu ya magonjwa ya Nyuki
  • Kuhakikisha viwango vya ubora, usalama na mfumo wa ufuatiliaji wa mazao ya Nyuki vinafuatwa
  • Kusimamia na kuratibu masuala yote yahusuyo watumishi katika ngazi ya kitengo
  • Kusimamia na kuratibu utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya ufugaji wa Nyuki zinazotekelezwa na wadau wote katika mnyororo wa Sekta hii
  • Kuratibu na kutekeleza masuala yote ya maendeleo ya ufugaji wa Nyuki yatakayojitokeza au/na kuelekezwa na Halmashauri


MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KWA KIPINDI CHA 2015/2016 HADI 2020/2021

BOFYA HAPA KUTAPAKUA TAARIFA

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 2022 May 06, 2022
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • Usafi wa Mazingira kwa Wananchi Wote, Jumamosi ya mwisho kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA SULUHU AZUNGUMZA NA WAKAZI WA TABORA

    May 19, 2022
  • RAIS SAMIA AFUNGUA RASMI BARABARA YA NYAHUA-CHAYA

    May 17, 2022
  • MAFUNZO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI (NaPA) YAFANYIKA

    March 30, 2022
  • HAKIELIMU WAKABIDHI MAJENGO YENYE THAMANI YA ZAIDI YA MIL. 140

    March 23, 2022
  • Angalia Zote

Video

MSTAHIKI MEYA BW. RAMADHAN KAPELA - UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NA UWEKEZAJI KATIKA MANISPAA YA TABORA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA
  • Taarifa Mbalimbali
  • Fomu ya maombi ya Leseni
  • Jarida 2020
  • eMrejesho
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Manispaa Tabora - Barabara ya Boma

    Anwani ya Posta: S.L.P 174 Tabora

    Simu ya Ofisi: 026-2604315/6088

    Simu ya Mkononi: 0784705044

    Barua Pepe: md@taboramc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.