• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Miradi iliyokamilika


1. UJENZI WA MRADI WA JENGO LA MADUKA ENEO LA PRIME TABORA MJINI

Mradi huu ambao unamba una jumla ya maduka 30 ulianzishwa kutokana na changamoto ya Halmashauri kuwa na Mapato Kidogo kutoka katika vyanzo vya mapato ya ndani, hivyo kuanza kufanya kazi kwa mradi huu kumeiwezesha Halmashauri kuongeza mapato kutokana na Tozo ya pango , Leseni za Biashara, Maegesho ya Magari na Usafi wa Mji.

Shughuli zilizofanyika wakati wa Utekelezaji wa mradi

  • Uandaaji wa eneo la ujenzi
  • Ujenzi wa Jengo lenyewe
  • Ujenzi wa mifereji kwa ajili ya kutolea maji ya mvua (Storm water drains)
  • Kuandaa eneo la kuegesha Magari (Parking)
  • Pamoja na ufungaji wa mfumo wa umeme katika Jengo

Halmashauri inatarajia kukusanya Jumla ya TSh. 40,500,000/= ikiwa ni Kodi ya Jengo, Pia Kiasi cha Tsh. 1,260,000/= kimekusanywa ikiwa ni Leseni za Biashara kwa Maduka 18, mradi pia umetoa ajira mbalimbali tangu kuanza kwa ujenzi mpaka kukamilika, mzunguko wa fedha umeongezeka pamoja na mwonekano wa Manispaa kuwa mzuri zaidi


Kupata Taaria zaidi bofya hapo chini.

UJENZI WA MRADI WA JENGO LA MADUKA ENEO LA PRIME TABORA MJINI.pdf



2. UJENZI WA MRADI WA SKIMU YA UMWAGILIAJI BWAWA LA INALA

 

Mradi wa Skimu ya umwagiliaji Inala ni mradi ulioanzishwa na Kujengwa katika Kijij cha Inala kata ya Ndevelwa ambao umehusisha ujenzi wa Bwawa na Miundo mbinu ya Umwagiliaji ambapo hadi sasa bwawa lina ujazo wa mita za ujazo 1,376,000 ambalo lina uwezo wa kumwagilia eneo la ukubwa wa hekta 400 wakati wote kwa ajili ya kilimo cha mpunga , mahindi na mboga mboga.

Vilevile Halmashauri  imefanikiwa kujenga miundo mbinu ya umwagiliaji kufikia hekta 232 na gharama ya mradi huu kwa ujumla ni Tsh. 1,656,342,651.809 ikihusisha ujenzi wa bwawa pamoja na skimu ya umwagiliaji.

Mradi ulianzishwa kwa lengo la kutatua changamoto ya ukosefu au  upungufu wa Chakula kwa wakazi wa Manispaa ya Tabora ambao husababishwa na kilimo duni kutokana na Manispaa ya Tabora kutopata mvua za kutosha kuwezesha shughuli za kilimo cha mazao ya chakula kama mpunga na mahindi hivy kuisababishia serikali gharama kubwa ya kutoa chakula cha msaada ili kuokoa kaya ambazo huathirika kutokana na ukosefu wa chakula

Mafanikio ya mradi ni kwamba mpaka sasa wakulima wapatao 400 wamegawiwa mashamba ili kuanza kilimo cha mpunga na inatarajiwa ujenzi wa skimu ukikamilika wakulima wapatao 1000 watanufaika kwa kulima kilimo chenye tija na kupata uhakika wa chakula , kuinua kipato cha wakulima, kukua kwa uchumi katika Manispaa na wakulima waliopo karibu na mradi kupata maji ya kunyweshea mifugo yao.

 Wakulima wamepatiwa mafunzo kupitia mashamba darasa yaliyotolewa na Wataalamu kutoka Manispaa ya Tabora kwa Kushirikiana na Wataalamu kutoka Chuo cha Kilimo Tumbi

Kupa Taaria zaidi bofya hapo chini.

 UJENZI WA MRADI WA SKIMU YA UMWAGILIAJI BWAWA LA INALA.pdf

Matangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI AJIRA MPYA KADA YA WALIMU NA AFYA 2022 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 28, 2022
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • Usafi wa Mazingira kwa Wananchi Wote, Jumamosi ya mwisho kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI YAFANYIKA TABORA

    June 28, 2022
  • MANISPAA YA TABORA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA 2020/2021

    June 22, 2022
  • MKUU WA WILAYA AWAHAKIKISHIA USALAMA WATOTO WOTE WA MANISPAA YA TABORA

    June 16, 2022
  • MANISPAA YA TABORA YAMPONGEZA MTUMISHI WAKE KWA KUMPA TUZO YA NGAO NA FEDHA TZS MILIONI TATU

    May 21, 2022
  • Angalia Zote

Video

MSTAHIKI MEYA BW. RAMADHAN KAPELA - UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NA UWEKEZAJI KATIKA MANISPAA YA TABORA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA
  • Taarifa Mbalimbali
  • Fomu ya maombi ya Leseni
  • Jarida 2020
  • eMrejesho
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Manispaa Tabora, 4 Barabara ya Kiwanja cha Ndege

    Anwani ya Posta: S.L.P 174, 45182 Tabora

    Simu ya Ofisi: 026-2604315/6088

    Simu ya Mkononi: 0784705044

    Barua Pepe: md@taboramc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.