• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MANISPAA YA TABORA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA 2020/2021

Posted on: June 22nd, 2022

Halmashauri ya Manispaa ya Tabora imepongezwa sana kwa kupata Hati Safi ya Ofisi ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2020/2021. Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Dkt. Balozi Batilda Buriani ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Maalumu wa Kujadili taarifa ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Tabora.

Akizungumza wakati wa majadiliano hayo Mhe. Batilda alisema kuwa imekuwa ni faraja kubwa sana kwake yeye mwenyewe, Serikali ya Mkoa, Manispaa ya Tabora na kwa wananchi wote kwakuwa kupata Hati safi kunaifanya Manispaa kupata fedha Zaidi kutoka Serikali kuu kwa ajili ya mambo mbalimbali ikiwamo fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo nk.

“Niwapongeze sana Manispaa ya Tabora, Baraza la Madiwani, Menejimenti na watumishi wote wa Manispaa bila kusahau wadau wote kwa kuwezesha kupatiakana kwa hati safi baada ya ukaguzi wa fedha kwa mwaka 2020/2021, mmeiheshimisha sana Manispaa ya Tabora”, alisema Mhe. Batilda.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora Mhe. Ramadhani Shabani Kapela alimshukuru sana Mungu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuikumbuka Manispaa ya Tabora hata ameipatia fedha nyingi kwa ajili utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Kisha akamshukuru sana Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Dkt. Balozi Batilda Buriani kwa namna ambavyo amekuwa akiisaidia Manispaa ya Tabora katika kutekeleza shughuri zake za kila siku akisaidiwa na Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe. Dkt. Yahaya Esmail Nawanda ambaye amekuwa na msaada mkubwa sana tangua wasili Wilaya aya Tabora na hata sasa Manispaa imepata hati safi.

“Kwa dhati ya moyo wangu kabisa na kwa niaba ya Waheshimiwa Madiwani wa Manispaa ya Tabora, Mkurugenzi na Menejimenti yake tunawashuruni  nyote kwa kuwezesha Manispaa yetu kupata hati safi, ni jamboa mbalo lie]likuwa limekwama kwa muda wa miaka kadhaa kuipata hati safi, tunawashukuru san asana, juhudi zenu zimeleta mafanikio haya”, alisema Mstahiki Meya Kapela.

Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021 ilifanyiwa ukaguzi  wa hesabu za Serikali katika kipindi cha Oktoba 2021.

Katika kipindi hicho Halmashauri ilipata hoja 42 (hoja 35 za kitabu kikubwa na hoja 6 za miradi ya Mradi ya Afya) na hoja 49 (44 za kitabu kikubwa na hoja 5 za Mradi wa Afya) za kipindi cha miaka ya nyuma (2012/2013 hadi 2019/2022)

Baada ya zoezi la uhakiki wa majibu ya hoja Halmashauri kwa kipindi cha mwaka 20202/2021 imebakiwa na hoja 21 za sasa na hoja 25 za miaka ya nyuma.

Hivyo Menejimenti inaendelea kuzifanyia kazi hoja 21 za sasa na 25 za nyuma ili kuhakikisha kwamba zinahakikiwa na kufungwa. Na kwamba Menejimenti imefanikiwa kupunguza hoja 42 za mwaka 2022/2021 hadi hoja 21 na kupunguza hoja 49 za miaka ya nyuma (2012/2013 hadi 2019/2020) hadi hoja 25 kutokana na kuunda Kamati Maalumu ya kushughulikia hoja za ukaguzi kwa kuzingatia  maelekezo ya OR-TAMISEMI.

Matangazo

  • ORODHA YA WAOMBAJI WALIOTEULIWA KATIKA AJIRA ZA MUDA ZA SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 July 28, 2022
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATIKA ENEO LA TULI KATA YA IFUCHA - INALA July 25, 2022
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • Usafi wa Mazingira kwa Wananchi Wote, Jumamosi ya mwisho kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA NNE KWA MWAKA 2021/2022 LAIPINGEZA MENEJIMENTI

    July 30, 2022
  • UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI YAFANYIKA TABORA

    June 28, 2022
  • MANISPAA YA TABORA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MWAKA 2020/2021

    June 22, 2022
  • MKUU WA WILAYA AWAHAKIKISHIA USALAMA WATOTO WOTE WA MANISPAA YA TABORA

    June 16, 2022
  • Angalia Zote

Video

MSTAHIKI MEYA BW. RAMADHAN KAPELA - UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NA UWEKEZAJI KATIKA MANISPAA YA TABORA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA
  • Taarifa Mbalimbali
  • Fomu ya maombi ya Leseni
  • Jarida 2020
  • eMrejesho
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Manispaa Tabora, 4 Barabara ya Kiwanja cha Ndege

    Anwani ya Posta: S.L.P 174, 45182 Tabora

    Simu ya Ofisi: 026-2604315/6088

    Simu ya Mkononi: 0784705044

    Barua Pepe: md@taboramc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.